Monday, 15 September 2014

EBOLA NI SHIDAH!!

Kuna mtu aliekwenda kanisani
Jumapili akatoa ushuda kuwa
alikuwa na ebola na Mungu
akamponya. Alipomaliza akataka
ampe 'mic' mtu anayefuata,
jamaa akakataa.

jamaa:(Mh! ebola?)Sina ushuhuda mpe
pastor.

Pastor:(mh amepona kweli huyu)Mimi sihusiki na shuhuda,
mpe senior pastor.

Senior pastor:(Hata mtoto mdogo hakubali)Ndugu katika kristo.
Mic ni ya kwako. Ni zawadi kutoka
kwa kanisa. Nenda nayo
nyumbani.

EBOLA ni shidah

No comments:

Post a Comment